Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais
Tume ya Utumishi wa Umma
Tume ya Utumishi wa Umma inaye Katibu ambaye huteuliwa na Rais. Katibu ndiye Mtendaji Mkuu wa Tume na Afisa Mhasibu.
Kwa mujibu wa Kifungu cha 15(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 18 of 2007, Tume ya Utumishi wa Umma ina Idara tatu zinazoongozwa na Manaibu Katibu. Idara hizo ni:
Watumishi wa Umma, Waajiri, Mamlaka za Ajira na Nidhamu waaswa kuzingatia Sheria, Kanuni n...
Hakimiliki © 2014. Tume ya Utumishi wa Umma. Haki zote zimehifadhiwa.